Biblia

Takatifu ya Kiswahili

5.6.5 oleh ⭐ Wiktoria Goroch ⭐
Feb 13, 2020 Versi Lama

Mengenai Biblia

The Holy Bible in Swahili - Swahili Bible

Biblia Takatifu ya Kiswahili - Swahili Bible

Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu".

Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania . Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale".

Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake.

Apa yang baru dalam versi terkini 5.6.5

Last updated on Feb 13, 2020
sisi imesababisha shambulio, utendaji bora na kuongezea baadhi ya vipengele

Maklumat APLIKASI tambahan

Versi Terbaru

5.6.5

Dimuat naik oleh

Huy Hoàng

Memerlukan Android

Android 4.1+

Laporkan

Tandai sebagai tidak sesuai

Tunjukkan Lagi

Biblia Alternatif

Dapatkan lebih banyak daripada ⭐ Wiktoria Goroch ⭐

Cari