Use APKPure App
Get Biblia Ya Kiswahili-Biblia Takatifu,Swahili Bible old version APK for Android
Swahili Bijbel, Ni Biblia Takatifu ya Kiswahili ina Agano Jipya na Agano la Kale
Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno la Kigiriki βιβλια, "biblia" ambalo ni wingi wa neno "biblos" yaani "kitabu".
Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania. Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale".
Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake.
MAANDIKO YA KIGIRIKI YA KIKRISTO
Mathayo
Marko
Luka
Yohana
Matendo
Waroma
1 Wakorintho
2 Wakorintho
Wagalatia
Waefeso
Wafilipi
Wakolosai
1 Wathesalonike
2 Wathesalonike
1 Timotheo
2 Timotheo
Tito
Filemoni
Waebrania
Yakobo
1 Petro
2 Petro
1 Yohana
2 Yohana
3 Yohana
Yuda
Ufunuo
Last updated on Feb 4, 2020
Minor bug fixes and improvements. Install or update to the newest version to check it out!
Geüpload door
Bryan Andree Jaramillo Romero
Android vereist
Android 4.4+
Categorie
Melden
Biblia Ya Kiswahili-Biblia Takatifu,Swahili Bible
1.5 by Version X Studios
Feb 4, 2020